Staa wa
Majanga, Snura Antony Mushi ‘Snura’ amesema kuwa mauno anayoyakata
katika shoo zake yamemfanya apate maombi mengi toka wanaume
hasa waume za watu..Snura alisema kukata
mauno kwenye shoo ndiyo silaha yake ya kuwateka mashabiki hasa
wanaume ambao wengi wao wamekuwa wakimtongoza kwa ahadi ya
kumnunulia gari na nyumba....
Tazama video hiyo ujionee mwenyewe yaliyomo ndani yake...
No comments:
Post a Comment